
Sir Alex na Robin van Persie wakiwasili katika tuzo za mchezaji bora wa mwaka wa klabu

Sir Alex akiongea na Patrice Evra, Anderson pamoja na Antonio Valencia kabla ya kuanza kwa sherehe ya mchezaji bora wa mwaka wa klabu

David de Gea, Rafael da Silva, Anders Lindegaard, Michael Carrick, Antonio Valencia, Patrice Evra, Ryan Giggs na Robin van Persie wakijipanga 

Ben Pearson akikabidhiwa tuzo ya mchezaji chipukizi wa klabu na kocha wa academy Paul McGuinness

Adnan Januzaj akikabidhiwa tuzoya Denzil Haroun ya mchezaji mdogo wa mwaka wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka -21 na meneja Warren Joyce pamoja na kocha Nicky Butt

Robin van Persie akiwa na tuzo ya Sir Matt Busby ya mchezaji bora wa mwaka wa washabiki

Michael Carrick akiwa na tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa wachezaji wote

Robin van Persie akiwa tuzo ya goli bra la mwaka alipofunga goli safi dhidi ya Aston Villa tarehe 22 April 2013

Bryan Robson akimkabidhi Robin Van Persie tuzo ya goli bora la mwaka

Michael Carrick iakikabidhiwa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka na kocha mstaafu Sir Alex Ferguson

No comments:
Post a Comment
only comments that are benefial for this blog is allowed