
Neymar akitambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa Barcelona katika uwanja wa Nou Camp hapo jana

Neymar akipeperusha bendera za barcelona

Neymar akionyesha ufundi wake mbele ya mashabiki wa Barcelona waliokuja kumpokea


Rais wa Barcelona Sandro Rosell akimkaribisha Neymar katika uwanja wa Nou Camp

Neymar akisalimia mashabiki wa Barcelona

Neymar akisalimia watoto wa Barcelona waliokuja kumpokea


Neymar akichukuliwa vipimo vya afya
No comments:
Post a Comment
only comments that are benefial for this blog is allowed