Thursday, May 17, 2012

BREAKING NEWS: MCHEZAJI WA SIMBA PATRICK MAFISANGO AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

Patrick Mutesa Mafisango amefariki dunia. Habari zilizotufikia zinasema kiungo huyo wa Simba amepata ajali ya gari katika maeneno ya Tazara wakati akijaribu kumkwepa mwendesha pikipiki na kupata ajali mbali iliyokatisha maisha yake.

No comments:

Post a Comment

only comments that are benefial for this blog is allowed