
TIMU YA LIVERPOOL IMEKOSA NAFASI YA MOJA KWA MOJA KUFUZU KWA HATUA YA MTOANO KATIKA MASHINDANO YA UEFA NDOGO MAARUFU KAMA EUROPA LEAGUE BAADA YA JANA USIKU KULAZIMISHWA SARE YA BAO 2-2 NA YOUNG BOYS NA HIVYO KUIFANYA TIMU HIYO KUSUBIRI PAMBANO LAKE LA MWISHO NA UDINESE ILI WAWEZE KUFUZU KWA HATUA YA MTOANO NA WAKATI HUO HUO WAKISUBIRI MATOKEO YA MWISHO KATI YA YOUNG BOYS NA ANZHI MAKACHKALA
No comments:
Post a Comment
only comments that are benefial for this blog is allowed