
LIONEL MESSI AKIWASILI CAMP NOU KWA AJILI YA KUSAINI MKATABA MPYA


KAZI IMEKAMILIKA RAIS WA KLABU YA BARCELONA SANDRO ROSELL AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MSHINDI MARA NNE WA TUZO YA FIFA BALLON D'OR LIONEL MESSI
Lionel messi amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na klabu yake ya Barcelona .
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina ametia saini katika mkataba wake mpya ambao utamwezesha kuwepo katika klabu hiyo mpaka tarehe 30.06.2018
Messi anaungana na wachezaji wengine wa klabu hiyo xavi na Carles puyol ambao wote kwa pamoja wametia saini katika nyongeza ya mikataba yao ya sasa.
No comments:
Post a Comment
only comments that are benefial for this blog is allowed