Tuesday, May 14, 2013

CHELSEA YAELEKEA AMSTERDAM TAYARI KWA PAMBANO LA KESHO LA FAINALI YA UEFA EUROPA LEAGUE DHIDI YA BENFICA

WACHEZAJI WA CHELSEA WAKIINGIA KATIKA BASI TAYARI KWA  SAFARI 
JUAN MATA AKIINGIA KATIKA BASI MKONONI AMEBEBA KAHAWA
MLINZI WA KIKOSI CHA CHELSEA DAVID LUIZ AKIWA TAYARI KWA SAFARI
OSCAR AKIWA AMEPUMZIKA WAKATI BASI LIKIWAPELEKA UWANJA WA NDEGE
PAMOJA NA KUWA MAJERUHI EDEN HAZARD AMESAFIRI NA WENZAKE
JUAN MATA
MARAFIKI WA KITAMBO JOHN TERRY NA FRANK LAMPARD
OSCAR AKIINGIA NDANI YA PIPA
KOCHA WA CHELSEA RAFA BENITEZ AKIONGOZA MAPAMBANO
WACHEZAJI WA CHELSEA WAKIWASILI AMSTERDAM
Timu ya soka ya chelsea imesafiri leo kuelekea Amsterdam Uholanzi ambako itashuka dimbani hapo kesho kupambana na timu ngumu ya Benfica kutoka nchini ureno katika fainali ya kikombe cha UEFA EUROPA league.
Timu ya Chelsea inaweza ikamkosa kiungo wake muhimu Eden hazard ambaye amepata majeruhi lakini yupo katika orodha ya wachezaji waliosafiri na kikosi cha kocha Rafa Benitez.

No comments:

Post a Comment

only comments that are benefial for this blog is allowed