
NANI KAMFUNIKA MWENZKE HAPA:KUTOKA KUSHOTO ASHLEY YOUNG,RIO FERDINAND, ANDERSON,WILFRID ZAHA, SHINJI KAGAWA


KUTOKA KUSHOTO:ANDERS LINDEGAARD NA MPENZI WAKE PAMOJA NA ROBIN VAN PERSIE NA MKE WAKE BOUCHRA

BOSS: DAVID MOYES



PHIL JONES NA MKE WAKE KAYA KUSHOTO PAMOJA NA TOM CLEVERLEY NA MKE WAKE GEORGINA DORSET

WACHEZAJI MAPACHA WA MANCHESTER UNITED KUTOKA KUSHOTO RAPHAEL AKIWA NA FABIO DA SILVA


PATRICE EVRA AKIWA NA MKE WAKE SANDRA(KUSHOTO) PAMOJA NA NEMANJA VIDIC NA MKE WAKE ANA
Pichani juu ni wachezaji wa Manchester united walipokutana pamoja katika hafla iliyoandaliwa na UNICEF ikiwa na lengo la kuchangia pesa kwa ajili ya shughuli mbali mbali za watoto duniani kote.
No comments:
Post a Comment
only comments that are benefial for this blog is allowed