Wednesday, December 11, 2013

UEFA CHAMPIONS LEAGUE:MANCHESTER UNITED 1 SHAKHTAR DONETSK 0



PHIL JONES AKIIPATIA MAN UNITED BAO LA USHINDI KATIKA DAKIKA YA 67 YA MCHEZO

PHIL JONES (KULIA) AKISHANGILIA PAMOJA NA TOM CLEVERLY

KOCHA WA MAN UNITED DAVID MOYES AKIFURAHI BAADA YA GOLI

KILE KINACHOONEKANA KUKOSA IMANI NA TIMU UWANJA WA OLD TRAFFORD ULIONEKANA UKIWA WAZI BAADA YA MASHABIKI KUSHINDWA KUTOKEA KATIKA PAMBANO HILO



VIKOSI

Manchester United: De Gea 6, Rafael 6, Buttner 6 (Valencia 88), Jones 7, Ferdinand 5, Evans 6, Januzaj 7, Giggs 5 (Cleverley 63, 6), Rooney 7, Kagawa 6, Young 5 (Van Persie 63, 6)

Subs not used: Anderson, Lindegaard, Hernandez, Nani

Goal: Jones 67

Booked: Buttner, Cleverley

Manager: David Moyes 6


Shakhtar Donetsk: Pyatov 6, Srna 6, Shevchuk 6, Stapenenko 6, Kucher 6, Rakitskiy 7, Douglas Costa 7, Fred 6 (Fernando 80), Luiz Adriano 6 (Ferreyra 88), Teixeira 8, Taison 7 (Bernard 63, 6)

Subs not used: Hubschman, Eduardo, Kanibolotskiy, Krivtsov

Booked: Srna, Kucher

Manager: Mircea Lucescu 6

Man of the match: Alex Teixera

Referee: Milorad Mazic 6

Attendance: 75,000


    No comments:

    Post a Comment

    only comments that are benefial for this blog is allowed