Wednesday, October 22, 2014

MATOKEO UEFA: BAYERN MUNICH YAFANYA MAUAJI YAIPIGA AS ROMA BAO 7-1


ARJEN ROBEN AKIIPATIA BAYERN BAO LA KWANZA

ROBBEN AKISHANGILIA DA DAVID ALABA BAADA YA KUFUNGA BAO

THOMAS MULLER AKIIPATIA BAYERN BAO LA TANO


FURAHA YA USHINDI

WACHEZAJI WA BAYERN WAKITOKA NJE YA UWANJA BAADA YA PAMBANO HILO

VIKOSI

Roma: De Sanctis, Torosidis, Yanga-Mbiwa, Manolas, Cole (Holebas, 46), Nainggolan, De Rossi, Pjanic (Ljajic, 78), Iturbe, Totti (Florenzi, 46), Gervinho

Subs (not used): Skorupski, Destro, Astori, Paredes

Goals: Gervinho (66)

Bookings: Iturbe, Torosidis, Nainggolan

Bayern Munich: Neuer, Bernat, Boateng, Benatia, Alaba, Lahm, Alonso, Robben, Muller (Rafinha, 60), Gotze (Shaqiri, 79), Lewandowski (Ribery, 68)

Subs (not used): Zingerle, Dante, Pizarro, Hojbjerg

Goals: Robben (9, 30), Gotze (23), Lewandowski (25), Muller (35, pen), Ribery (78), Shaqiri (80)

Bookings: Bernat

Referee: Jonas Eriksson (Sweden)


Klabu ya Bayern Munich imeiacha klabu ya Roma katika mshangao mkubwa na kuchanganyikiwa baada ya kutoa kipigo kikali cha mabao 7-1 katika pambano la jana la kundi E na hivyo kufanya klabu hiyo kushinda kwa goli nyingi zaidi kwa mara ya kwanza ikiwa ugenini katika mashindano hayo.
 
Kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mhispaniola Pep Guardiola kiliizamisha klabu ya Roma katika mechi iliyopigwa katika dimba la Stadio Olimpico.

Mpaka kufikia mapumziko klabu ya Bayern Munich ilikuwa mbele kwa magoli 5-0, baada ya dakika 90 mbao za matangazo zilibadilika na kuwa bao 7-1 uku ikishuhudia Ashley Cole na wachezaji wengine wa As Roma wakitoka nje na kipigo kikali cha mabao 7.

No comments:

Post a Comment

only comments that are benefial for this blog is allowed