Baada ya Kagera Sugar kupoteza Michezo milwili sasa wanajipanga upya kuikabili Mgambo Shooting leo kwenye Uwanja wa Nyumbani Kaitaba Stadium Kuikaribisha Mgambo Shooting, Mchezo utakaochezwa Leo tarehe 9.02.2013. Mwamuzi wa mechi hiyo atakuwa Amon Paul kutoka Musoma mkoani Mara.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA:http://www.bukobasports.com
you are invited to follow my blog
ReplyDelete