Thursday, March 14, 2013

ARSENAL YAAGA KIUME MASHINDANO YA ULAYA YAIPIGA BAYERN BAO 2-0


Bayern Munich0
Arsenal2
Giroud 3′Koscielny 86′
  • FT 90 +4
  • HT 0-1
  • (agg 3 - 3)
Bayern Munich Imeshinda kwa goli la Ugenini
Arsenal players


Laurent Koscielny akiifungia arsenal bao la pili dhidi ya Bayern
Mlinda mlango wa Bayern Manuel Neuer akishikilia mpira kujaribu kupoteza muda
Olivier Giroud akiifungia Arsenal bao la kwanza 
kadi ya manjano:Thomas Rosicky akionekana mwenye huzuni baada ya kufanya rafu mbaya
Javi Martinez (kulia) akijaribu kuondosha mpira mbele ya Mikel Arteta
Neuer akipoteza muda baada ya kufungwa bao 
Mario Mandzukic akionyesha kukasirika
Arsene Wenge rakilalamika mbele ya mwamuzi wa akiba
Wenger akizidi kulalamikia uamuzi mbovu kutoka kwa mwamuzi wa pambano hilo
Luis Gustavo (kulia) akijaribu kumzuia Santi Cazorla


Licha ya kuifunga Bayern Munich ya Ujerumani mabao mawili kwa bila ugenini, Arsenal waondolewa katika mashindano ya Klabu bingwa bara Ulaya.

Hii ni kwa sababu katika mechi ya awali iliyochezwa wiki mbili zilizopita katika Uwanja wa Emirates, Arsenal walifungwa magoli 3-1 na Bayern.

Kufuatia bao hilo Arsenal wakawa wanahitaji magolo mengine mawili ili kumaliza mechi wakuwa juu kwa 3-0.Mchezaji Olivier Giroud aliipatia 'The Gunners' goli lao la kwanza katika dakika ya 15 baada ya pasi safi kutoka kwa Theo Walcott.

Mlinda lango wa Arsenal Lukasz Fabianski alifanya kazi ya ziada kwani alipangua mikwaju kadhaa kutoka kwa mshambulizi matata Arjen Robben hivyo kumnyima nafasi ya kuifungia Bayern Munich goli lolote.

Lakini baada ya mechi , Bayern Munich ndio walifaulu kuingia hatua ya robo fainali.

VIKOSI
Bayern Munich: Neuer, Dante, Van Buyten, Lahm, Martinez, Muller, Alaba, Luis Gustavo, Kroos (Tymoschuk 81), Mandzukic (Gomez 73), Robben

Subs not used: Tom Starke, Rafinha, Contento, Shaqiri, Pizarro
Booked: Lahm, Martinez, Gomez


Arsenal: Fabianski, Mertesacker, Koscielny, Jenkinson, Gibbs, Rosicky, Arteta, Walcott (Oxlade-Chamberlain 72), Ramsey (Gervinho 72), Cazorla, Giroud

Subs not used: Mannone, Vermaelen, Diaby, Coquelin, Arshavin

Booked: Gibbs, Rosicky, Giroud, Mertesacker, Cazorla, Koscielny

Goals: Giroud 3, Koscielny 86


Referee: Pavel Kralovec

Attendance: 66,000

No comments:

Post a Comment

only comments that are benefial for this blog is allowed