Thursday, March 14, 2013

MALAGA YAIPIGA FC PORTO BAO 2-0 NA KUTINGA HATUA YA ROBO FAINALI YA KLABU BINGWA BARANI ULAYA


Malaga2
Isco 43′Santa Cruz 77′
FC Porto0
  • FT 90 +5
  • HT 1-0
  • (agg 2 - 1)
Roque Santa Cruz scores

Klabu ya soka ya Malaga imeungana na klabu za Barcelona,Bayern Munich, Borussia Dortmund, Galatasaray, Juventus, Paris Saint-Germain na Real Madrid kutinga katika hatua ya robo fainali ya mashindano makubwa kwa upande wa klabu barani ulaya baada ya hapo jana kuibwaga klabu ya Fc Porto ya ureno kwa mabao 2-0 yaliyofungwa na wachezaji wake isco dakika ya 43 na Santa Cruz dakika 77. Ratiba ya hatua ya Robo fainali itapangwa siku ya Ijumaa tarehe 15.03.2013

No comments:

Post a Comment

only comments that are benefial for this blog is allowed