Sunday, May 05, 2013

FLOYD MAYWEATHER JR AMCHAPA ROBERT GUERRERO KWA POINTI

ANABAKI KUWA BINGWA: FLOYD MAYWEATHER AKIWA NA MKANDA WAKE BAADA YA KUFANIKIWA KUMCHAPA KWA POINTI ROBERT GUERRERO
FLOYD MAYWEATHER AKIONGEA BAADA YA PAMBANO
MAYWEATHER AKIMTUPIA MAKONDE GUERRERO
MAN TO MAN
GUERRERO AKIRUSHA NGUMI KWA MAYWEATHER
Floyd Mayweather jr anabaki kuwa bingwa wa masumbwi asiyepingika baada ya leo asubuhi kwa saa za afrika mashariki kufanikiwa kumchapa kwa pointi bondia machachari Robert Guerrero na kuendeleza rekodi ya kuwa bondia asiyewahi kupigwa hata pambano moja.

Pambano lilikuwa kali na la kusisimua uku kila bondia akijaribu kutumia mbinu kumpiga mwenzake lakini bondia Floyd Mayweather alionekana kumzidi ujanja mwenzake kwa kufanikiwa kupata alama nyingi zaidi.

Hadi mwisho wa pambano bondia Floyd Mayweather alikuwa anaongoza kwa kuwa na pointi nyingi zaidi ya mwenzake.

No comments:

Post a Comment

only comments that are benefial for this blog is allowed