Sunday, May 05, 2013

BONDIA WLADIMIR KLITSCHKO AMCHAPA FRANCESCO PIANETA KATIKA RAUNDI YA SITA YA PAMBANO

 Wladimir Klitschko akiwa na mikanda yake aliyoitetea dhidi ya Pianeta
Klitschko akishangilia baada ya ushindi
Mchumba wa Klitschko mwigizaji Hayden Panettier alikuwepo kushuhudia pambano
Bondia Wladimir Klitschko akitoa kipigo kwa bondia Pianeta
 Pianeta akishindwa kuendelea na pambano baada ya kuhesabiwa na mwamuzi wa pambano hilo na hivyo kusitisha pambano
Pianeta

No comments:

Post a Comment

only comments that are benefial for this blog is allowed